Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana ni uhai kwa wale wazipatao, Na afya ya mwili wao wote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana hayo ni uhai kwa mtu anayeyapata, ni dawa kwa mwili wake wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana hayo ni uhai kwa mtu anayeyapata, ni dawa kwa mwili wake wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana hayo ni uhai kwa mtu anayeyapata, ni dawa kwa mwili wake wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata na afya kwa mwili wote wa mwanadamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata na afya kwa mwili wote wa mwanadamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana ni uhai kwa wale wazipatao, Na afya ya mwili wao wote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Basi yatakuwa uzima kwa nafsi yako, Na neema shingoni mwako.


Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako.


Mwanangu, sikiliza, na kuzipokea kauli zangu; Na miaka ya maisha yako itakuwa mingi.


Naye akanifundisha, akaniambia, Moyo wako uyahifadhi maneno yangu; Shika amri zangu ukaishi.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.