Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Fumbua kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu; Uwatetee watu wote walioachwa peke yao;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wewe, lazima useme kwa ajili ya wote walio bubu; na kutetea haki za wote wasiojiweza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wewe, lazima useme kwa ajili ya wote walio bubu; na kutetea haki za wote wasiojiweza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wewe, lazima useme kwa ajili ya wote walio bubu; na kutetea haki za wote wasiojiweza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sema kwa ajili ya wale wasioweza kujisemea, kwa ajili ya haki za wote walioachwa ukiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Sema kwa ajili ya wale wasioweza kujisemea, kwa ajili ya haki za wote walioachwa ukiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Fumbua kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu; Uwatetee watu wote walioachwa peke yao;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:8
18 Marejeleo ya Msalaba  

Wakuu wakanyamaa wasinene, Na kuweka mikono yao vinywani mwao;


Kuugua kwake aliyefungwa Na kuingie mbele zako. Kwa kadiri ya uweza wa mkono wako Uwahifadhi waliohukumiwa kufa.


Mungu asimama katika kusanyiko la Mungu; Katikati ya miungu anahukumu.


Kwa mpumbavu hekima haipatikani; Hafumbui kinywa chake langoni.


Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini; Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.


Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.


Ee nyumba ya Daudi, BWANA asema hivi, Hukumuni hukumu ya haki asubuhi, mkawaponye waliotekwa nyara na mkono wake aliyewadhulumu, ghadhabu yangu isije ikatoka kama moto, ikaunguza, asiweze mtu yeyote kuuzima, kwa sababu ya uovu wa matendo yenu.


Lakini mkono wa Ahikamu, mwana wa Shafani, alikuwa pamoja na Yeremia, wasimtie katika mikono ya watu auawe.


Je! Torati yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza, na kujua atendavyo?


Yonathani akamjibu Sauli, baba yake, akamwambia, Auawe kwa sababu gani? Amefanya nini?