Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nguvu na heshima ndizo sifa zake, hucheka afikiriapo wakati ujao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nguvu na heshima ndizo sifa zake, hucheka afikiriapo wakati ujao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nguvu na heshima ndizo sifa zake, hucheka afikiriapo wakati ujao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amevikwa nguvu na heshima, anaweza kucheka bila kuwa na hofu kwa siku zijazo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amevikwa nguvu na heshima, anaweza kucheka bila kuwa na hofu kwa siku zijazo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:25
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nilijivika haki, ikanifunika, Adili yangu ilikuwa kama joho na kilemba.


Haya! Jivike sasa fahari na ukuu; Jipambe heshima na enzi.


Na makuhani wake nitawavika wokovu, Na watauwa wake watashangilia.


Makuhani wako na wavikwe haki, Watauwa wako na washangilie.


Nitafurahi sana katika BWANA, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu; maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu.


Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.


na mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli.


bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.


Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;