Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanamke huyo hutengeneza nguo na kuziuza, huwauzia wafanyabiashara mishipi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanamke huyo hutengeneza nguo na kuziuza, huwauzia wafanyabiashara mishipi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanamke huyo hutengeneza nguo na kuziuza, huwauzia wafanyabiashara mishipi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza, naye huwauzia wafanyabiashara mishipi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza, naye huwauzia wafanyabiashara mishipi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:24
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nao farasi aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi, kila kundi na thamani yake.


Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake kwa moyo wote.


Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.


Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.


Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.


Shamu alikuwa mfanya biashara kwako, kwa sababu ya wingi wa kazi za mkono wako walifanya biashara kwa zumaridi, urujuani, kazi ya taraza, kitani safi, marijani na akiki, wapate vitu vyako vilivyouzwa.


Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.


Samsoni akawaambia, Mimi nitawategea ninyi kitendawili; kama mnaweza kunitegulia katika hizo siku saba za karamu, na kukitambua, ndipo nitakapowapa mavazi thelathini ya kitani na mavazi thelathini ya sikukuu;