Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Husokota nyuzi kwa mikono yake mwenyewe, kwa vidole vyake mwenyewe husuka nguo zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Husokota nyuzi kwa mikono yake mwenyewe, kwa vidole vyake mwenyewe husuka nguo zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Husokota nyuzi kwa mikono yake mwenyewe, kwa vidole vyake mwenyewe husuka nguo zake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huweka mikono yake kwenye pia, navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye uzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huweka mikono yake kwenye pia, navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye uzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:19
4 Marejeleo ya Msalaba  

na imwangukie Yoabu kichwani pake, na nyumba yote ya babaye, tena hiyo nyumba ya Yoabu isikose kuwa na mtu mwenye kutoka damu, au aliye na ukoma, au mwenye kutegemea fimbo, au mwenye kuanguka kwa upanga au mwenye kuhitaji chakula.


Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.


Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake.