Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hutambua kwamba shughuli zake zina faida; hufanya kazi hata usiku kwa mwanga wa taa yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hutambua kwamba shughuli zake zina faida; hufanya kazi hata usiku kwa mwanga wa taa yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hutambua kwamba shughuli zake zina faida; hufanya kazi hata usiku kwa mwanga wa taa yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huona kwamba biashara yake ina faida, wala taa yake haizimiki usiku.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huona kwamba biashara yake ina faida, wala taa yake haizimiki usiku.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hii ilikuwa hali yangu; mchana jua likanipata, na baridi usiku, usingizi ukanitoka machoni mwangu.


Wanawe hufikia heshima, wala yeye hajui; Kisha wao huaibishwa, lakini yeye hana habari zao.


Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi.


Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu.


Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.


Maana, ndugu, mnakumbuka taabu yetu na masumbufu yetu; kwa kuwa mchana na usiku tulifanya kazi tusije tukamlemea mtu wa kwenu awaye yote, huku tukiwahubiria Injili ya Mungu.