Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hufikiria kununua shamba, kisha hulinunua, na kulima zabibu kwa faida ya jasho lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hufikiria kununua shamba, kisha hulinunua, na kulima zabibu kwa faida ya jasho lake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hufikiria kununua shamba, kisha hulinunua, na kulima zabibu kwa faida ya jasho lake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huangalia shamba na kulinunua; kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huangalia shamba na kulinunua, kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.


Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.


Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu.


Shamba langu la mizabibu, lililo langu mimi, liko mbele yangu. Basi, Sulemani, wewe uwe na elfu zako, Na hao wayalindao matunda yake wapewe mia mbili.


Tena ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyositirika katika shamba; ambayo mtu alipoiona, aliificha; na kwa furaha yake akaenda akauza alivyo navyo vyote, akalinunua shamba lile.


Kisha ikawa, hapo huyo mwanamke alipokwenda kwa mumewe, akamtaka aombe shamba kwa baba yake; akashuka katika punda wake; Kalebu akamwuliza, Unataka nikupe nini?