Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mke mwema kweli, apatikana wapi? Huyo ana thamani kuliko johari!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mke mwema kweli, apatikana wapi? Huyo ana thamani kuliko johari!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mke mwema kweli, apatikana wapi? Huyo ana thamani kuliko johari!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mke mwenye sifa nzuri, ni nani awezaye kumpata? Yeye ni wa thamani sana kuliko marijani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mke mwenye sifa nzuri, ni nani awezaye kumpata? Yeye ni wa thamani sana kuliko marijani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana thamani yake yapita thamani ya marijani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:10
14 Marejeleo ya Msalaba  

Havitatajwa fedhaluka wala bilauri; Naam, kima cha hekima chapita marijani.


Mwanamke mwema ni taji la mumewe; Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.


Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.


Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA.


Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na BWANA.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.


Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.


Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.


ambayo bado nafsi yangu ningali nikiitafuta, nisiione; mwanamume mmoja katika elfu nimemwona; bali mwanamke mmoja miongoni mwa wote mimi sikumwona.


Basi, mwanangu, usiogope; mimi nitakufanyia yote uyanenayo; kwa maana watu wote wa mjini wangu wanakujua ya kwamba u mwanamke mwema.


Na jina la mtu huyo aliitwa Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa mkosa adabu na mwovu; naye alikuwa wa ukoo wa Kalebu.