Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kuna kizazi cha watu ambao macho yao yameinuka kama nini! Na kope zao zimeinuka sana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuna na wengine – kiburi ajabu! Hudharau kila kitu wanachokiona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuna na wengine – kiburi ajabu! Hudharau kila kitu wanachokiona.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuna na wengine — kiburi ajabu! hudharau kila kitu wanachokiona.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ambao daima macho yao ni ya kiburi, na kutazama kwao ni kwa dharau;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wale ambao daima macho yao ni ya kiburi, ambao kutazama kwao ni kwa dharau;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuna kizazi cha watu ambao macho yao yameinuka kama nini! Na kope zao zimeinuka sana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia.


BWANA, moyo wangu hauna kiburi, Wala macho yangu hayainuki. Wala sijishughulishi na mambo makuu, Wala mambo yanayozidi nguvu zangu.


Mwenye kiburi na moyo wa majivuno, Taa yake ni dhambi.


Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;


Macho ya mwanadamu yaliyoinuka yatashushwa chini, na kiburi cha mwanadamu kitainamishwa, naye BWANA, yeye peke yake, atatukuzwa siku hiyo.


BWANA akasema tena, Kwa sababu binti za Sayuni wana kiburi, na kuenda na shingo zilizonyoshwa, na macho ya kutamani, wakienda kwa hatua za madaha, na kuliza njuga kwa miguu yao;


Na mtu mnyonge ainamishwa, na mtu mkubwa amedhilika, na macho yao walioinuka hunyenyekezwa,


Je! Utazidi kusema mbele yake huyo akuuaye, Mimi ni mungu? Lakini u mwanadamu, wala si Mungu, mkononi mwake akutiaye jeraha.


Tazama, roho yake hujivuna, haina unyofu ndani yake; lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake.