Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maneno ya Aguri mwana wa Yake; mausia mtu huyu aliyomwambia Ithieli, naam, Ithieli na Ukali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno ya Aguri, mwana wa Yake. Mawaidha ambayo mtu huyu alimwambia Ithieli, naam, Ithieli na Ukali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno ya Aguri, mwana wa Yake. Mawaidha ambayo mtu huyu alimwambia Ithieli, naam, Ithieli na Ukali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno ya Aguri, mwana wa Yake. Mawaidha ambayo mtu huyu alimwambia Ithieli, naam, Ithieli na Ukali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Misemo ya Aguri mwana wa Yake; usia: Huyu mtu alimwambia Ithieli, naam, kwa Ithieli na Ukali:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Misemo ya Aguri mwana wa Yake, usia: Huyu mtu alimwambia Ithieli, naam, kwa Ithieli na kwa Ukali:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno ya Aguri mwana wa Yake; mausia mtu huyu aliyomwambia Ithieli, naam, Ithieli na Ukali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.


Hakika nimekuwa kama mnyama, wala si mtu; Wala sina ufahamu wa mwanadamu;


Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.