Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye huwadharau wenye dharau, lakini huwafadhili wanyenyekevu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye huwadharau wenye dharau, lakini huwafadhili wanyenyekevu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye huwadharau wenye dharau, lakini huwafadhili wanyenyekevu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huwadhihaki wale wanaodhihaki, lakini huwapa neema wale wanyenyekevu na walioonewa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huwadhihaki wale wanaodhihaki, lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:34
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ingawa BWANA yuko juu, anamjali mnyenyekevu, Naye amjua mwenye kujivuna tokea mbali.


Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.


Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;


Wapumbavu huidharau hatia; Bali upo upendeleo kwa wenye haki.


Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.


Hukumu zimewekwa tayari kwa wenye mzaha; Na mapigo kwa mgongo wa wapumbavu.


Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.


Kama una hekima, una hekima kwa nafsi yako; Na kama una dharau, utaichukua peke yako.


Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi; kwa hiyo husema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neema wanyenyekevu.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.