Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Usishindane na mtu bila sababu, Ikiwa hakukudhuru kwa lolote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usigombane na mtu bila sababu ikiwa hajakudhuru kwa lolote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usigombane na mtu bila sababu ikiwa hajakudhuru kwa lolote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usigombane na mtu bila sababu ikiwa hajakudhuru kwa lolote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usimshtaki mtu bila sababu, wakati hajakudhuru kwa lolote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usimshtaki mtu bila sababu, wakati hajakutenda dhara lolote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usishindane na mtu bila sababu, Ikiwa hakukudhuru kwa lolote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:30
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kweli umepiga Edomu, na moyo wako umekutukuza; ujisifu basi, ukae nyumbani mwako. Mbona unataka kujitia bure katika madhara, hata uanguke, wewe na Yuda pamoja nawe?


Mwanzo wa ugomvi ni kama kutoboa penye maji; Basi acheni ugomvi kabla haujafurika.


Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.


Mtu apitaye na kujisumbua kwa ugomvi usio wake; Ni kama mtu ashikaye mbwa kwa masikio yake.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.


Tena haimpasi mtumwa wa Bwana kuwa mgomvi; bali kuwa mwanana kwa watu wote, awezaye kufundisha, mvumilivu;