Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ukiketi hutakuwa na hofu; ukilala utapata usingizi mtamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ukiketi hutakuwa na hofu; ukilala utapata usingizi mtamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ukiketi hutakuwa na hofu; ukilala utapata usingizi mtamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

unapolala, hutaogopa; unapolala, usingizi wako utakuwa mtamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ulalapo, hautaogopa; ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:24
21 Marejeleo ya Msalaba  

Basi ukatulia ufalme wake Yehoshafati; kwa sababu Mungu wake alimstarehesha pande zote.


Tena utalala, wala hapana atakayekutia hofu; Naam, wengi watakutafuta uso wako.


Moyo wake umethibitika hataogopa, Hata awaone watesi wake wameshindwa.


Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi.


Nilijilaza na kulala usingizi, kisha ninaamka tena, Kwa kuwa BWANA ananitegemeza.


Sitayaogopa maelfu na maelfu ya watu, Waliojipanga Juu yangu pande zote.


Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, BWANA, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama.


Hutaogopa hatari za usiku, Wala mshale urukao mchana,


Bali kila anisikilizaye atakaa salama, Naye atatulia bila kuogopa mabaya.


Kumcha BWANA huelekea uhai; Atakaa ameshiba; hatajiliwa na ubaya.


Uendapo yatakuongoza, ulalapo yatakulinda, Na uamkapo yatazungumza nawe.


Usingizi wake kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo, au awe amekula kingi; lakini kushiba kwake tajiri hakumwachi kulala usingizi.


Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.


Basi, nikaamka, nikaangalia; na usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.


Mimi mwenyewe nitawalisha kondoo wangu, nami nitawalaza, asema Bwana MUNGU.


Nami nitafanya agano la amani nao, nami nitawakomesha wanyama wakali kati yao; nao watakaa salama jangwani, na kulala misituni.


Na mti wa kondeni utazaa matunda yake, nayo ardhi itatoa mazao yake, nao watakuwa salama katika nchi yao; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, nitakapovunja vifungo vya nira zao, na kuwaokoa katika mikono ya watu wale waliowatumikisha.


Nami nitawapa amani katika nchi, tena mtalala na hakuna atakayewatia hofu; nami nitawakomesha wanyama wabaya katika nchi yenu, wala hautapita upanga katika nchi yenu.


Hata wakati Herode alipotaka kumtoa, usiku ule ule Petro alikuwa analala katikati ya askari wawili, amefungwa minyororo miwili; walinzi mbele ya mlango wakalilinda gereza.