Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa hekima BWANA aliiweka misingi ya nchi; Kwa akili zake akazifanya mbingu imara;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hekima Mwenyezi-Mungu aliweka misingi ya dunia, kwa akili aliziimarisha mbingu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hekima Mwenyezi-Mungu aliweka misingi ya dunia, kwa akili aliziimarisha mbingu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hekima Mwenyezi-Mungu aliweka misingi ya dunia, kwa akili aliziimarisha mbingu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hekima Mwenyezi Mungu aliiweka misingi ya dunia, kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hekima bwana aliiweka misingi ya dunia, kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hekima BWANA aliiweka misingi ya nchi; Kwa akili zake akazifanya mbingu imara;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya! Sema, kama una ufahamu.


Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako! Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa viumbe wako.


Yeye aliyeumba mbingu kwa fahamu zake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


BWANA alikuwa nami katika mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo yake ya kale.


Ameiumba dunia kwa uweza wake, Ameuthibitisha ulimwengu kwa hekima yake, Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu.


Ameiumba dunia kwa uweza wake, Ameuthibitisha ulimwengu kwa hekima yake, Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu.


Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika.