Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 29:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mdhalimu ni chukizo kwa mnyofu, naye mnyofu ni chukizo kwa mwovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mdhalimu ni chukizo kwa mnyofu, naye mnyofu ni chukizo kwa mwovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mdhalimu ni chukizo kwa mnyofu, naye mnyofu ni chukizo kwa mwovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 29:27
19 Marejeleo ya Msalaba  

Moyo wa ukaidi utaondoka kwangu, Lililo ovu sitalijua.


Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Je! BWANA nisiwachukie wanaokuchukia? Nisiudhike nao watu wanaokuasi?


Nawachukia kwa upepo wa chuki, Wamekuwa adui kwangu.


Ondokeni kwangu, ninyi nyote mtendao uovu; Kwa kuwa BWANA ameisikia sauti ya kilio changu.


Wanaonichukia bure ni wengi Kuliko nywele za kichwa changu. Watakao kunikatilia mbali ni wengi, Adui zangu kwa sababu isiyo kweli. Hata mimi nililipishwa kwa nguvu Vitu nisivyovichukua.


Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.


Haja iliyopatikana ni tamu nafsini mwa mtu; Bali kujitenga na maovu ni chukizo kwa wapumbavu.


Fikira za mpumbavu ni dhambi, Na mwenye mzaha huwachukiza watu.


Wamwagao damu humchukia mtu mkamilifu; Bali wenye haki humtunza nafsi yake.


Maneno ya Aguri mwana wa Yake; mausia mtu huyu aliyomwambia Ithieli, naam, Ithieli na Ukali.


Nami nikawakatilia mbali wachungaji watatu katika mwezi mmoja; maana nafsi yangu ilikuwa imechoka kwa ajili yao, na nafsi zao pia walinichukia.


Nanyi mtakuwa mkichukiwa na watu wote kwa ajili ya jina langu; lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.


Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.


Yeye anichukiaye mimi humchukia na Baba yangu.


Mimi nimewapa neno lako; na ulimwengu umewachukia; kwa kuwa wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu.


Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi; bali hunichukia mimi, kwa sababu mimi naushuhudia ya kuwa kazi zake ni mbovu.


Ndugu zangu, msistaajabu, ulimwengu ukiwachukia.