Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 29:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Amwendekezaye mtumwa wake tangu utoto, Mwisho wake atakuwa ni mwanawe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ambembelezaye mtumwa wake tangu utoto, mwishowe mtumwa huyo atamrithi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ambembelezaye mtumwa wake tangu utoto, mwishowe mtumwa huyo atamrithi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ambembelezaye mtumwa wake tangu utoto, mwishowe mtumwa huyo atamrithi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amwendekezaye mtumwa wake tangu utoto, Mwisho wake atakuwa ni mwanawe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 29:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu akasema, Tazama, hukunipa uzao, na mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwangu ndiye mrithi wangu.


Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.


Je! Umemwona mtu mwenye kuhamaki katika maneno? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.


Mwanamke mwenye kuchukiza aolewapo; Na mjakazi aliye mrithi wa bibi yake.


Yule wakili akasema moyoni mwake, Nifanyeje? Maana, bwana wangu ananiondolea uwakili. Kulima, siwezi; kuomba, naona haya.


Na mtumwa wake afisa mmoja alikuwa mgonjwa, karibu kufa; naye ni mtu aliyempenda sana.


Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.