Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 29:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haitoshi mtumwa kuonywa kwa maneno; Maana ajapoyafahamu hataitika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtumwa haonyeki kwa maneno matupu, maana ingawa anayaelewa yeye hatayatii.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, hata akielewa, hataitikia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haitoshi mtumwa kuonywa kwa maneno; Maana ajapoyafahamu hataitika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 29:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Namwita mtumishi wangu, wala haniitikii, Ingawa namsihi kwa kinywa changu.


Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, Na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.


Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.


Je! Umemwona mtu mwenye kuhamaki katika maneno? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;