Tena baba yake hakumchukiza wakati wowote kwa kusema, Mbona umefanya hivi? Kisha, alikuwa mtu mzuri sana; naye alizaliwa baada ya Absalomu.
Methali 29:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Adhabu na maonyo huleta hekima, lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake. Biblia Habari Njema - BHND Adhabu na maonyo huleta hekima, lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Adhabu na maonyo huleta hekima, lakini mtoto aliyeachwa afanye apendavyo humwaibisha mama yake. Neno: Bibilia Takatifu Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto asiyeonywa humwaibisha mama yake. Neno: Maandiko Matakatifu Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake. BIBLIA KISWAHILI Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye. |
Tena baba yake hakumchukiza wakati wowote kwa kusema, Mbona umefanya hivi? Kisha, alikuwa mtu mzuri sana; naye alizaliwa baada ya Absalomu.
Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.