Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 28:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotovu wa njia angawa ni tajiri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Afadhali maskini aishiye kwa unyofu, kuliko tajiri aishiye kwa upotovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Afadhali maskini aishiye kwa unyofu, kuliko tajiri aishiye kwa upotovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Afadhali maskini aishiye kwa unyofu, kuliko tajiri aishiye kwa upotovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama, kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotovu wa njia ingawa ni tajiri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 28:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA; Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau.


Afadhali mali kidogo pamoja na haki, Kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.


Afadhali maskini aendaye katika uadilifu wake, Kuliko mpotovu wa midomo aliye mpumbavu.


Haja ya mwanadamu ni hisani yake; Ni afadhali maskini kuliko mwongo.


Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.