Methali 28:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Mwenye nafsi ya kutamani huchochea fitina; Bali amtumainiye BWANA ataneemeshwa. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mchoyo huchochea ugomvi, lakini anayemtegemea Mwenyezi-Mungu atafanikiwa. Biblia Habari Njema - BHND Mchoyo huchochea ugomvi, lakini anayemtegemea Mwenyezi-Mungu atafanikiwa. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mchoyo huchochea ugomvi, lakini anayemtegemea Mwenyezi-Mungu atafanikiwa. Neno: Bibilia Takatifu Mtu mwenye tamaa huchochea fitina, bali yule amtegemeaye Mwenyezi Mungu atafanikiwa. Neno: Maandiko Matakatifu Mtu mwenye tamaa huchochea fitina, bali yule amtegemeaye bwana atafanikiwa. BIBLIA KISWAHILI Mwenye nafsi ya kutamani huchochea fitina; Bali amtumainiye BWANA ataneemeshwa. |
BWANA hataiacha nafsi ya mwenye haki ife na njaa; Bali tamaa ya mtu mwovu huisukumia mbali.
Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.
Naye BWANA atakuongoza daima, ataishibisha nafsi yako mahali pasipokuwa na maji, na kuitia nguvu mifupa yako; nawe utakuwa kama bustani iliyotiwa maji, na kama chemchemi ambayo maji yake hayapungui.