Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 27:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wana-kondoo hufaa kwa mavazi yako; Na mbuzi ni thamani ya shamba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kondoo watakupatia sufu kwa mavazi, mbuzi nao utauza na kujinunulia mashamba;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kondoo watakupatia sufu kwa mavazi, mbuzi nao utauza na kujinunulia mashamba;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kondoo watakupatia sufu kwa mavazi, mbuzi nao utauza na kujinunulia mashamba;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wana-kondoo watakupatia mavazi na mbuzi thamani ya shamba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wana-kondoo watakupatia mavazi na mbuzi thamani ya shamba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana-kondoo hufaa kwa mavazi yako; Na mbuzi ni thamani ya shamba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 27:26
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa viuno vyake havikunibariki, Au kama hakupata moto kwa manyoya ya kondoo wangu;


Manyasi hukatwa, na majani mabichi huchipua, Na mboga ya mlimani hukusanywa.


Tena yatakuwapo maziwa ya mbuzi, Ya kukutosha kwa chakula chako, Na chakula cha watu wa nyumbani mwako, Na posho la vijakazi vyako.


Arabuni, na wakuu wote wa Kedari, ndio waliokuwa wafanya biashara wa mkono wako; kwa wana-kondoo, na kondoo dume, na mbuzi; kwa hao walifanya biashara nawe.