BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu siku zote.
Methali 27:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Kama uso ufananavyo na uso katika maji; Kadhalika moyo wa mtu na mwenzake. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Kama uso ujionavyo wenyewe majini, ndivyo ujijuavyo mwenyewe moyoni. Biblia Habari Njema - BHND Kama uso ujionavyo wenyewe majini, ndivyo ujijuavyo mwenyewe moyoni. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Kama uso ujionavyo wenyewe majini, ndivyo ujijuavyo mwenyewe moyoni. Neno: Bibilia Takatifu Kama uso uonekanavyo kwenye maji, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwonesha alivyo. Neno: Maandiko Matakatifu Kama uso uonekanavyo kwenye maji, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwonyesha alivyo. BIBLIA KISWAHILI Kama uso ufananavyo na uso katika maji; Kadhalika moyo wa mtu na mwenzake. |
BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu siku zote.