Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 27:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Chuma hunoa chuma; Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Chuma hunoa chuma, kadhalika mtu hufundishwa na wenzake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Chuma hunoa chuma, kadhalika mtu hufundishwa na wenzake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Chuma hunoa chuma, kadhalika mtu hufundishwa na wenzake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama vile chuma kinoavyo chuma, ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama vile chuma kinoavyo chuma, ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Chuma hunoa chuma; Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 27:17
21 Marejeleo ya Msalaba  

Atakaye kumzuia huyo huuzuia upepo; Na mkono wake wa kulia hukuta mafuta.


Yeye autunzaye mtini atakula matunda yake; Naye amhudumiaye bwana wake ataheshimiwa.


Marhamu na manukato huufurahisha moyo; Kadhalika utamu wa rafiki ya mtu utokao katika kusudi la moyo wake.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.


Naye aliposikia, aliondoka upesi, akamwendea.


mtu asifadhaishwe na dhiki hizi; maana ninyi wenyewe mnajua ya kuwa ndizo tulizowekewa.


Kwa sababu hiyo nimepatikana na mateso haya, lakini sitahayari; kwa maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki ya kwamba aweza kukilinda kile nilichokiweka amana kwake hata siku ile.


Basi usiuonee haya ushuhuda wa Bwana wetu, wala usinionee haya mimi mfungwa wake, bali uvumilie mabaya pamoja nami kwa ajili ya Injili, kwa uweza wa Mungu;


Ushiriki taabu pamoja nami, kama askari mwema wa Kristo Yesu.


tukaangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi nzuri;


Ndugu zangu, hesabuni ya kuwa ni furaha tupu, mkiangukia katika majaribu mbalimbali;


Kila mtu atakayeiasi amri yako, asiyasikilize maneno yako katika mambo yote utakayomwamuru, atauawa. Uwe hodari na moyo wa ushujaa, hilo tu.


Wakamwambia Yoshua, Hakika BWANA ameitia nchi yote katika mikono yetu; tena zaidi ya hayo wenyeji wa nchi wanayeyuka mbele yetu.


Ndipo Yonathani, mwana wa Sauli, akainuka akamwendea Daudi huko Horeshi, akamtia nguvu mkono wake katika Mungu.