Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 27:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mtu ambarikiye mwenzake kwa sauti kuu asubuhi na mapema; Itahesabiwa kuwa ni laana kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amwamkiaye jirani kwa kelele alfajiri, itaeleweka kwamba amemtakia laana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amwamkiaye jirani kwa kelele alfajiri, itaeleweka kwamba amemtakia laana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amwamkiaye jirani kwa kelele alfajiri, itaeleweka kwamba amemtakia laana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu asubuhi na mapema, itahesabiwa kuwa ni laana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu asubuhi na mapema, itahesabiwa kama ni laana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu ambarikiye mwenzake kwa sauti kuu asubuhi na mapema; Itahesabiwa kuwa ni laana kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 27:14
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na yule mjumbe, aliyekwenda kumwita Mikaya, akamwambia, akasema, Angalia sasa, maneno ya manabii kwa kinywa kimoja husema mema kwa mfalme; neno lako na liwe, nakusihi, kama neno la mmojawapo wao, ukaseme mema.


Ndipo mfalme wa Israeli akawakusanya pamoja manabii, kama watu mia nne. Akawaambia Je! Niende juu ya Ramoth-Gileadi kuupiga vita, au ninyamaze? Wakasema Kwea; kwa kuwa BWANA atautia mkononi mwa mfalme.


Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki;


Matone daima kudondoka siku ya mvua nyingi, Na mwanamke mgomvi ni sawasawa;