Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ulimi unenao uongo huwachukia wale uliowajeruhi; Na kinywa cha kujipendekeza hutenda uharibifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Asemaye uongo huwachukia hao anaowaumiza, naye abembelezaye huleta maangamizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Asemaye uongo huwachukia hao anaowaumiza, naye abembelezaye huleta maangamizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Asemaye uongo huwachukia hao anaowaumiza, naye abembelezaye huleta maangamizi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulimi wa uongo huwachukia wale unaowaumiza, nacho kinywa cha kujipendekeza husababisha uharibifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulimi wa uongo, huwachukia wale unaowaumiza, nacho kinywa cha kujipendekeza hutenda uharibifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ulimi unenao uongo huwachukia wale uliowajeruhi; Na kinywa cha kujipendekeza hutenda uharibifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:28
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akamwambia maneno yayo hayo, akisema, Yule mtumwa Mwebrania uliyemleta kwetu, aliingia kwangu anidhihaki.


Ili kuokoka na malaya, Naam, malaya mwenye kubembeleza kwa maneno yake;


Mwenye kujipendekeza kwa jirani yake, Hutandika wavu ili kuitega miguu yake.


Yakulinde na mwanamke mwovu, asikupate, Na kukuponya na ubembelezi wa mgeni.


Wapate kukulinda na malaya, Na mwasherati akubembelezaye kwa maneno yake.


Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu. Abrahamu hakufanya hivyo.