Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 25:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mbingu huenda juu sana, na nchi huenda chini; Lakini mioyo ya wafalme haichunguziki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama zilivyo mbali mbingu na kirefu kina cha ardhi ndivyo zisivyochunguzika akili za mfalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama zilivyo mbali mbingu na kirefu kina cha ardhi ndivyo zisivyochunguzika akili za mfalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama zilivyo mbali mbingu na kirefu kina cha ardhi ndivyo zisivyochunguzika akili za mfalme.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini, ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme haichunguziki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini, ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme haichunguziki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mbingu huenda juu sana, na nchi huenda chini; Lakini mioyo ya wafalme haichunguziki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 25:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akampa Sulemani hekima, na akili nyingi sana, na moyo mkuu, kama mchanga ulioko pwani.


Maana, kama mbingu zilivyoinuka juu ya nchi, Ndivyo fadhili zake zilivyo kuu kwa wamchao.


Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo; Bali ni utukufu wa mfalme kuchunguza jambo.


Ondoa takataka katika fedha, Na chombo kitatokea kwa mtakasaji;


Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, ndivyo njia zangu zilivyo juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.


Jitakie ishara ya BWANA, Mungu wako; itake katika mahali palipo chini sana, au katika mahali palipo juu sana.


wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu.


ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo.