Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 25:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Upepo wa kusi huleta mvua; Vile vile asingiziaye huleta uso wa ghadhabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Upepo wa kusi huleta mvua, hali kadhalika masengenyo huleta chuki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Upepo wa kusi huleta mvua, hali kadhalika masengenyo huleta chuki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Upepo wa kusi huleta mvua, hali kadhalika masengenyo huleta chuki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua, ndivyo ulimi usingiziao uletavyo uso wa hasira.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua, ndivyo ulimi usingiziao uletavyo uso wa hasira.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Upepo wa kusi huleta mvua; Vile vile asingiziaye huleta uso wa ghadhabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 25:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kaskazini hutokea mng'ao wa dhahabu; Mungu huvikwa ukuu utishao.


Dhoruba hutoka katika vyumba vyake; Na baridi ghalani mwake.


Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia.


Asiyesingizia kwa ulimi wake. Wala kumtenda mwenziwe mabaya, Wala kumsengenya jirani yake.


Bila heshima walinidhihaki kupindukia, Wakanisagia meno yao.


Moto hufa kwa kukosa kuni; Na bila mchongezi fitina hukoma.


wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao,


Maana nachelea, nisije nikawakuta si kama vile nitakavyo kuwakuta, nikaonekana kwenu si kama vile mtakavyo; nisije nikakuta labda fitina na wivu, na ghadhabu, na ugomvi, na masingizio, na manong'onezo, na majivuno, na ghasia;