Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 25:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo utafanya apate aibu kali, kama makaa ya moto kichwani pake, naye Mwenyezi-Mungu atakutuza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo utafanya apate aibu kali, kama makaa ya moto kichwani pake, naye Mwenyezi-Mungu atakutuza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo utafanya apate aibu kali, kama makaa ya moto kichwani pake, naye Mwenyezi-Mungu atakutuza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake, naye Mwenyezi Mungu atakupa thawabu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake, naye bwana atakupa thawabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 25:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Labda BWANA atayaangalia mabaya yaliyonipata, naye BWANA atanilipa mema kwa sababu ya kunilaani kwake leo.


Wakaondoka wale watu waliotajwa majina yao, wakawatwaa wafungwa, wakawavika kwa zile nyara wale wote waliokuwa uchi, wakawapa mavazi na viatu, wakawalisha, wakawanywesha, wakawatia mafuta, wakawapandisha waliokuwa dhaifu miongoni mwao juu ya punda wakawaleta Yeriko, mji wa mitende, kwa ndugu zao; kisha wakarudi Samaria.


Na nyumba ile ikistahili, amani yenu na iifikie; la, kwamba haistahili, amani yenu na iwarudie ninyi.


sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.


Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.


Nawe umeonesha leo jinsi ulivyonitendea mema, kwani BWANA aliponitia mikononi mwako, hukuniua.