Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 25:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa uvumilivu mwingi mkuu husadikishwa; Na ulimi laini huvunja mfupa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa uvumilivu mtawala huweza kushawishika; ulimi laini huvunja mifupa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa uvumilivu mtawala huweza kushawishika; ulimi laini huvunja mifupa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa uvumilivu mtawala huweza kushawishika; ulimi laini huvunja mifupa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa, nao ulimi laini unaweza kuvunja mfupa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa, nao ulimi laini waweza kuvunja mfupa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa uvumilivu mwingi mkuu husadikishwa; Na ulimi laini huvunja mfupa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 25:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Atakusihi sana? Au, atakuambia maneno ya upole?


Jawabu la upole hugeuza hasira; Bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.


Hasira ya mfalme ni kama wajumbe wa mauti; Lakini mtu mwenye hekima ataituliza.


Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.


Roho yake mtawala ikiinuka kinyume chako, Usiondoke mara mahali pako ulipo; Kwa maana roho ya upole hutuliza machukizo yaliyo makubwa.


Akatwaa asali mikononi mwake akasonga mbele, huku akila alipokuwa akienda, akawafikia babaye na mamaye, akawapa, nao wakala; lakini hakuwaambia ya kuwa ameitwaa hiyo asali katika mzoga wa simba.


Lakini kijana mmojawapo alimpasha habari Abigaili, mkewe Nabali, akasema, Tazama, Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani waje ili kumsalimu bwana wetu, naye akawatukana.