Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana msiba wao utatokea kwa ghafla; Tena ni nani aujuaye uharibifu wa miaka yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana maangamizi yao huwapata ghafla. Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana maangamizi yao huwapata ghafla. Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana maangamizi yao huwapata ghafla. Hakuna ajuaye maafa watakayozusha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana msiba wao utatokea kwa ghafla; Tena ni nani aujuaye uharibifu wa miaka yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:22
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wageni wote waliokuwa pamoja na Adonia wakaogopa, wakaondoka, wakaenda zao kila mtu njia yake.


Ni nani aujuaye uweza wa hasira yako? Na ghadhabu yako inayolingana na kicho chako?


Hasira ya mfalme ni kama wajumbe wa mauti; Lakini mtu mwenye hekima ataituliza.


Utisho wa mfalme ni kama ngurumo ya simba; Amkasirishaye huitendea dhambi nafsi yake.


Kwa maana mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena; Bali wasio haki hukwazwa na mabaya.


Basi msiba utampata kwa ghafla; Ghafla atavunjika, bila njia ya kupona.


Maana mwanadamu naye hajui wakati wake; kama samaki wanaokamatwa katika nyavu mbaya, na mfano wa ndege wanaonaswa mtegoni, kadhalika wanadamu hunaswa katika wakati mbaya, unapowaangukia kwa ghafla.


Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.