Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya; Wala usiwahusudu wabaya;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, wala usiwaonee wivu watu waovu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, wala usiwaonee wivu watu waovu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, wala usiwaonee wivu watu waovu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usikasirike kwa sababu ya wapotovu, wala usiwaonee wivu waovu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya wala usiwaonee wivu waovu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya; Wala usiwahusudu wabaya;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:19
14 Marejeleo ya Msalaba  

Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wenye dhambi; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.


Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.


Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche BWANA mchana kutwa;


Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;


BWANA asije akaliona hilo, likamkasirisha; Akageuzia mbali naye hasira yake.


Akasema na mkutano, na kuwaambia, Nawasihi, ondokeni penye hema za hawa watu waovu, wala msiguse kitu chao chochote, msiangamizwe katika dhambi zao zote.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.