Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Usifurahi, adui yako aangukapo; Wala moyo wako usishangilie ajikwaapo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usishangilie kuanguka kwa adui yako; usifurahie moyoni mwako kujikwaa kwake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usishangilie kuanguka kwa adui yako; usifurahie moyoni mwako kujikwaa kwake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usishangilie kuanguka kwa adui yako; usifurahie moyoni mwako kujikwaa kwake,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo; wakati anapojikwaa, usiruhusu moyo wako ushangilie.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo; wakati ajikwaapo, usiruhusu moyo wako ushangilie.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usifurahi, adui yako aangukapo; Wala moyo wako usishangilie ajikwaapo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:17
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamzika Abneri katika Hebroni; naye mfalme akapaza sauti yake, akalia kaburini kwa Abneri, nao watu wote wakalia.


Kama nilifurahi kwa kuangamia kwake huyo aliyenichukia, Au kujitukuza alipopatikana na maovu;


Lakini nikijikwaa wanafurahi na kukusanyana, Walinikusanyikia watu ovyo nisiowajua, Wakanipapura bila kukoma.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Amchekaye maskini humtukana Muumba wake; Naye aufurahiaye msiba hatakosa adhabu.


BWANA asije akaliona hilo, likamkasirisha; Akageuzia mbali naye hasira yake.


Lakini usiitazame siku ya ndugu yako, siku ya mashaka yake, wala usisimange juu ya wana wa Yuda siku ya kuangamizwa kwao; wala usinene maneno ya kiburi katika siku ya shida yao.


Usifurahi juu yangu, Ee adui yangu; niangukapo, nitasimama tena; nikaapo gizani, BWANA atakuwa nuru kwangu.


Ikawa mioyo yao iliposhangilia, wakasema, Mwiteni Samsoni, ili atufanyie michezo. Basi wakamwita Samsoni atoke gerezani, akacheze mbele yao wakamweka katikati ya nguzo mbili.