Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwanangu, ule asali, kwa maana ni njema, Na sega la asali lililo tamu ulionjapo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanangu, ule asali maana ni nzuri; sega la asali ni tamu mdomoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanangu, ule asali maana ni nzuri; sega la asali ni tamu mdomoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanangu, ule asali maana ni nzuri; sega la asali ni tamu mdomoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri; asali kutoka sega ni tamu kwa kuonja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri; asali kutoka kwenye sega ni tamu kwa kuonja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanangu, ule asali, kwa maana ni njema, Na sega la asali lililo tamu ulionjapo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:13
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mausia yako ni matamu sana kwangu, Kupita asali kinywani mwangu.


Ni za kutamanika kuliko dhahabu, Kuliko wingi wa dhahabu safi. Nazo ni tamu kuliko asali, Kuliko sega la asali.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Je! Umeona asali? Kula kadiri ya kukutosha; Usije ukashiba na kuitapika.


Haifai kula asali nyingi mno; Vile vile mtu kutafuta utukufu wake mwenyewe si utukufu.


Nafsi iliyoshiba hukinai sega la asali; Bali nafsi yenye njaa huona kila kitu kichungu kuwa kitamu.


Bibi arusi, midomo yako yadondosha asali, Asali na maziwa viko chini ya ulimi wako; Na harufu ya mavazi yako Ni kama harufu ya Lebanoni.


Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bibi arusi, Nachuma manemane yangu na rihani, Nala sega la asali na asali yangu, Nanywa divai yangu na maziwa. Kaleni, rafiki zangu, kanyweni, Naam, nyweni sana, wapendwa wangu.


Siagi na asali atakula, wakati ajuapo kuyakataa mabaya na kuyachagua mema.


Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya mwituni.


Akatwaa asali mikononi mwake akasonga mbele, huku akila alipokuwa akienda, akawafikia babaye na mamaye, akawapa, nao wakala; lakini hakuwaambia ya kuwa ameitwaa hiyo asali katika mzoga wa simba.


Ila Yonathani hakusikia, hapo babaye alipowaagiza watu kwa kiapo; basi yeye akainyosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, na kuichovya katika sega la asali, kisha akatia mkono wake kinywani; na macho yake yakatiwa nuru.