Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche BWANA mchana kutwa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Moyo wako usiwaonee wivu wenye dhambi, ila endelea kumcha Mwenyezi-Mungu siku zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Moyo wako usiwaonee wivu wenye dhambi, ila endelea kumcha Mwenyezi-Mungu siku zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Moyo wako usiwaonee wivu wenye dhambi, ila endelea kumcha Mwenyezi-Mungu siku zote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiuruhusu moyo wako kuwaonea wivu wenye dhambi, bali kila mara uwe na bidii katika kumcha Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiuruhusu moyo wako kuwaonea wivu wenye dhambi, bali kila mara uwe na bidii katika kumcha bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche BWANA mchana kutwa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:17
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kumcha BWANA ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana ufahamu mzuri, Sifa zake zadumu milele.


Kuwa na mali chache pamoja na kumcha BWANA; Ni bora kuliko mali nyingi pamoja na taabu.


Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;


Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya; Wala usiwahusudu wabaya;


Mwanangu, mche BWANA, na mfalme; Wala usishirikiane na wenye kigeugeu;


Mwanadamu mwenye kicho yu heri sikuzote; Bali mshupavu wa moyo ataangukia madhara.


Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.


Usikiache kinywa chako kuukosesha mwili wako; wala usiseme mbele ya huyo malaika ya kwamba hukukusudia; kwa nini Mungu akasirishwe na maneno yako, na kuiharibu kazi ya mikono yako?


Maana ndivyo ilivyo katika habari za wingi wa ndoto, na ubatili, na maneno mengi; walakini wewe umche Mungu.


Basi kanisa likapata raha kote katika Yudea na Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Basi, wapenzi wangu, kwa kuwa tuna ahadi hizo, na tujitakase nafsi zetu kutoka kwa uchafu wote wa mwili na roho, huku tukitimiza utakatifu katika kumcha Mungu.


Na ikiwa mnamwita Baba, yeye ahukumuye kila mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, nendeni kwa hofu katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni.