Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa sababu mkombozi wao ana nguvu; Atawatetea juu yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana Mungu, Mkombozi, ni mwenye nguvu, naye ataitetea haki yao dhidi yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana Mungu, Mkombozi, ni mwenye nguvu, naye ataitetea haki yao dhidi yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana Mungu, Mkombozi, ni mwenye nguvu, naye ataitetea haki yao dhidi yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu, atawatetea dhidi yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu, atalichukua shauri lao dhidi yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu mkombozi wao ana nguvu; Atawatetea juu yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi.


Kwa ajili ya kuonewa kwao wanyonge, Kwa ajili ya kuugua kwao wahitaji, Sasa nitasimama, asema BWANA, Nitamweka salama yeye wanayemfyonya.


Mungu huwapa wapweke makao yao; Huwapa wafungwa uhuru na kuwafanikisha; Bali wakaidi huishi katika nchi kavu.


Kwa sababu BWANA atawatetea; Naye atawateka uhai wao waliowateka.


Elekeza moyo wako kusikiliza mafundisho; Tega masikio yako kusikia maneno ya maarifa.


Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitakutetea, nami nitatwaa kisasi kwa ajili yako; nami nitaikausha bahari yake, nitaifanya chemchemi yake kuwa pakavu.


Na alaaniwe apotoaye hukumu ya mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe. Na watu wote waseme, Amina.