Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Fadhili na uaminifu humhifadhi mfalme, Na kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa fadhili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wema na uaminifu humkinga mfalme; utawala wake huimarishwa kwa uadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wema na uaminifu humkinga mfalme; utawala wake huimarishwa kwa uadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wema na uaminifu humkinga mfalme; utawala wake huimarishwa kwa uadilifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Upendo na uaminifu humweka mfalme salama; kiti chake cha ufalme huwa salama kwa upendo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Upendo na uaminifu humweka mfalme salama, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Fadhili na uaminifu humhifadhi mfalme, Na kiti chake cha enzi huthibitishwa kwa fadhili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:28
11 Marejeleo ya Msalaba  

Rehema na hukumu nitaziimba, Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.


Kwa kuwa mfalme humtumainia BWANA, Na kwa fadhili zake Aliye Juu hatatikisika.


Ee BWANA, unihukumu mimi, Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu, Nami nimemtumaini BWANA bila wasiwasi.


Nawe, BWANA, usinizuilie rehema zako, Fadhili zako na kweli yako na zinihifadhi daima.


Atakaa mbele za Mungu milele, Ziagize fadhili na kweli zimhifadhi.


Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.


Kwa rehema na kweli uovu husafishwa; Kwa kumcha BWANA watu hujiepusha na maovu.


Mfalme awahukumuye maskini kwa uaminifu; Kiti chake cha enzi kitathibitika milele.


Rehema na kweli zisiachane nawe; Zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.


Na kiti cha enzi kitafanywa imara kwa rehema; na mmoja ataketi juu yake katika kweli, katika hema ya Daudi; akifanya hukumu, akitaka sana yaliyo haki, mwepesi wa kutenda haki.


tafsiri yake ni hii, Ee mfalme, nayo ni amri yake Aliye Juu, iliyomjia bwana wangu, mfalme;