Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayemlaani baba yake au mama yake, mwanga wa uhai wake utazimwa kama taa gizani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayemlaani baba yake au mama yake, mwanga wa uhai wake utazimwa kama taa gizani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayemlaani baba yake au mama yake, mwanga wa uhai wake utazimwa kama taa gizani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimwa katika giza nene.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimwa katika giza nene.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amlaaniye babaye au mamaye, Taa yake itazimika katika giza kuu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:20
16 Marejeleo ya Msalaba  

Atakimbizwa kutoka mwangani hata gizani, Na kufukuzwa atoke duniani.


Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.


Yeye amwapizaye baba yake au mama yake, sharti atauawa.


Nuru ya mwenye haki yang'aa sana; Bali taa ya mtu mbaya itazimika.


Urithi uliopatikana mwanzo kwa haraka, Mwisho wake, lakini, hautabarikiwa.


Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.


Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.


Jicho la mtu amdhihakiye babaye, Na kudharau kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling'oa, Na vifaranga vya tai watalila.


Kwa maana kila mtu amlaaniye baba yake au mama yake hakika atauawa, amemlaani baba yake na mama yake; damu yake itakuwa juu yake.


Kwa kuwa Mungu alisema, Mheshimu baba yako na mama yako, na Amtukanaye baba yake au mama yake kufa na afe.


Mfalme akawaambia watumishi, Mfungeni mikono na miguu, mchukueni mkamtupe katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara, Tupeni mafuta yenu kidogo; maana taa zetu zinazimika.


Na alaaniwe amdharauye baba yake au mama yake. Na watu wote waseme, Amina.


ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.