Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuna dhahabu na wingi wa mawe ya thamani kubwa; lakini cha thamani kubwa zaidi ni maneno ya busara!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuna dhahabu na wingi wa mawe ya thamani kubwa; lakini cha thamani kubwa zaidi ni maneno ya busara!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuna dhahabu na wingi wa mawe ya thamani kubwa; lakini cha thamani kubwa zaidi ni maneno ya busara!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuna dhahabu, na marijani kwa wingi, lakini midomo inayonena maarifa ni kito cha thamani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi, lakini midomo inenayo maarifa ni kito cha thamani kilicho adimu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Midomo ya mwenye haki hueneza maarifa; Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Aliye na hekima moyoni ataitwa mwenye busara; Utamu wa maneno huongeza elimu.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Haifai kitu, haifai kitu, asema mnunuzi; Lakini akiisha kwenda zake hujisifu.


Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoze rehani aliye mdhamini wa wageni.


Kipuli cha dhahabu, na pambo la dhahabu safi; Ndivyo alivyo mwonyaji mwenye hekima kwa sikio lisikialo.


Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.


Upate kuilinda busara, Na midomo yako iyahifadhi maarifa.


Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi.


Maana hekima ni bora kuliko marijani; Wala vyote vinavyotamanika havilingani nayo.


Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.