Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ili upate kwenda katika njia ya watu wema, Na kuyashika mapito ya wenye haki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo utafuata mfano wa watu wema, na kuzingatia mienendo ya waadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo utafuata mfano wa watu wema, na kuzingatia mienendo ya waadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo utafuata mfano wa watu wema, na kuzingatia mienendo ya waadilifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo utatembea katika njia za watu wema na kushikamana na mapito ya wenye haki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo utatembea katika njia za watu wema na kushikamana na mapito ya wenye haki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ili upate kwenda katika njia ya watu wema, Na kuyashika mapito ya wenye haki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Mimi ni mwenzi wa watu wote wakuchao, Na wale wayatiio mausia yako.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu.


Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ing'aayo, Ikizidi kung'aa hata mchana mkamilifu.


Natembea katika njia ya haki, Katikati ya mapito ya hukumu.


BWANA asema hivi, Simameni katika njia kuu, mkaone, mkaulize habari za mapito ya zamani, Iko wapi njia iliyo njema? Mkaende katika njia hiyo, nanyi mtajipatia raha katika nafsi zenu. Lakini walisema, Hatutaki kwenda katika njia hiyo.


ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.


Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu.