Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Amwachaye rafiki wa ujana wake, Na kulisahau agano la Mungu wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

mwanamke amwachaye mwenzi wa ujana wake, na kulisahau agano la Mungu wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

mwanamke amwachaye mwenzi wa ujana wake, na kulisahau agano la Mungu wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mwanamke amwachaye mwenzi wa ujana wake, na kulisahau agano la Mungu wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amwachaye rafiki wa ujana wake, Na kulisahau agano la Mungu wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.


Chemchemi yako ibarikiwe; Nawe umfurahie mke wa ujana wako.


Je, tokea wakati huu hutanililia, Ee Baba yangu, wewe u kiongozi wa ujana wangu?


Basi, nilipopita karibu nawe, nikakutazama; tazama, wakati wako ulikuwa wakati wa upendo; nikatandika upindo wa vazi langu juu yako, nikakufunika uchi wako; naam, nilikuapia, nikafanya agano nawe, asema Bwana MUNGU, ukawa wangu.