Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 19:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mrudi mwanao, kwa maana liko tumaini; Wala usiikaze nafsi yako kwa kuangamia kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mrudi mwanao kungali bado na tumaini, lakini usimwadhibu kiasi cha kumwangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mrudi mwanao kungali bado na tumaini, lakini usimwadhibu kiasi cha kumwangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mrudi mwanao kungali bado na tumaini, lakini usimwadhibu kiasi cha kumwangamiza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkanye mwanao, kwa maana kufanya hivyo kuna tumaini, usiwe mshirika katika mauti yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mrudi mwanao, kwa maana katika hiyo kuna tumaini, usiwe mshirika katika mauti yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mrudi mwanao, kwa maana liko tumaini; Wala usiikaze nafsi yako kwa kuangamia kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 19:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.


Mtu wa hasira nyingi atachukua adhabu yake, Maana ujapomwokoa huna budi kufanya tena.


Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.


Asiyetawala roho yake Ni mfano wa mji uliobomolewa, usio na kuta.


Fimbo na maonyo hutia hekima; Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.


Mrudi mwanao naye atakustarehesha; Naam, atakufurahisha nafsi yako.


Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikizi,