Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 18:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno ya mtu yaweza kumshibisha; hutosheka kwa matokeo ya maneno yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake, atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tumbo la mtu litajazwa matunda ya kinywa chake; Atashiba mazao ya midomo yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 18:20
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu atakula mema kwa matunda ya kinywa chake; Bali nafsi ya mtu haini itakula jeuri.


Ageukaye moyoni hushiba njia zake mwenyewe; Na mtu mwema ataridhika nafsini mwake.


Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuliko mji wa nguvu; Na mashindano ni kama mapingo ya ngome.


maana ni vizuri kuyahifadhi ndani yako, hali yakithibitika pamoja midomoni mwako.


ili kukujulisha hakika ya maneno ya kweli, uwarudishie wakutumao maneno ya kweli?