Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 18:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu mwenye akili hujipatia maarifa, sikio la mwenye busara hutafuta maarifa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu mwenye akili hujipatia maarifa, sikio la mwenye busara hutafuta maarifa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu mwenye akili hujipatia maarifa, sikio la mwenye busara hutafuta maarifa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa, masikio ya mwenye hekima huyatafuta maarifa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa, masikio ya mwenye hekima huyatafuta maarifa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 18:15
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo nipe mimi mtumwa wako moyo wa adili niwahukumu watu wako, na kupambanua mema na mabaya; maana ni nani awezaye kuwahukumu watu hawa wako walio wengi?


Je! Hawatakufunza wao, na kukueleza, Na kutamka maneno yatokayo mioyoni mwao?


mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.


Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.


Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa; Bali kinywa cha wapumbavu hula upumbavu.


Sikio lisikilizalo lawama yenye uhai Litakaa kati yao wenye hekima.


Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.


Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.


Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.


Mwelimishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima; Mfundishe mwenye haki, naye atazidi kuwa na elimu;


Naye alikuwa na dada yake aitwaye Mariamu, aliyeketi miguuni pake Yesu, akasikiliza maneno yake.


Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awape ninyi roho ya hekima na ya ufunuo katika kumjua yeye;


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.