Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 18:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Majivuno ya moyoni huleta maangamizi, lakini unyenyekevu huleta heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Majivuno ya moyoni huleta maangamizi, lakini unyenyekevu huleta heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Majivuno ya moyoni huleta maangamizi, lakini unyenyekevu huleta heshima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi, bali unyenyekevu hutangulia heshima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi, bali unyenyekevu hutangulia heshima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 18:12
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa, Ee BWANA, Mungu wangu, umenitawaza niwe mfalme mimi mtumwa wako badala ya Daudi baba yangu; nami ni mtoto mdogo tu; sijui jinsi inipasavyo kutoka wala kuingia.


Kijapo kiburi ndipo ijapo aibu; Bali hekima hukaa na wanyenyekevu.


Kumcha BWANA ni maonyo ya hekima; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.


Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.


Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa.


Mwanadamu, mwambie mkuu wa Tiro, Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa moyo wako umeinuka, nawe umesema, Mimi ni mungu, nami nimeketi katika kiti cha Mungu, kati ya bahari; lakini u mwanadamu wala si Mungu, ujapokuwa umeweka moyo wako kama moyo wa Mungu.


Je! Utazidi kusema mbele yake huyo akuuaye, Mimi ni mungu? Lakini u mwanadamu, wala si Mungu, mkononi mwake akutiaye jeraha.


Nayo nchi ya Misri itakuwa ukiwa na jangwa; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA; kwa sababu amesema, Mto huu ni wangu, nami nimeufanya.


Basi hapo nilipokuwa nikisema, na kuomba, na kuiungama dhambi yangu, na dhambi ya watu wangu Israeli, na kuomba dua yangu mbele za BWANA, Mungu wangu, kwa ajili ya mlima mtakatifu wa Mungu wangu;


Mwanzo wa maombi yako ilitolewa amri, nami nimekuja kukupasha habari; maana wewe unapendwa sana; basi itafakari habari hii, na kuyafahamu maono haya.


Kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa, naye ajidhiliye atakwezwa.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.