Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 17:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtoto mpumbavu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni; hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni; hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Azaaye mpumbavu ni kwa huzuni yake mwenyewe; Wala baba wa mpumbavu hana furaha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 17:21
12 Marejeleo ya Msalaba  

Esau alipokuwa mwenye miaka arubaini, akamwoa Yudithi, binti Beeri, Mhiti, na Basemathi, binti Eloni, Mhiti.


Naye mfalme akataabika sana, akapanda juu, akaingia kile chumba kilichokuwa juu ya lango, akalia; na katika kwenda kwake alisema hivi, Mwanangu Absalomu! Ee mwanangu! Mwanangu Absalomu! Laiti ningalikufa badala yako, Absalomu, mwanangu, mwanangu!


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.


Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke kama kudondoka kwa matone daima.


Nami niliwaandikia neno lilo hilo, ili nijapo nisitiwe huzuni na wale ambao ilinipasa kuwafurahia; nikiwatumaini ninyi nyote kwamba furaha yangu ni yenu nyote pia.


Sina furaha iliyo kuu kuliko hii, kusikia ya kwamba watoto wangu wanakwenda katika kweli.


Ila wanawe hawakuenda katika njia zake, bali waliziacha, ili wapate faida; wakapokea rushwa, na kupotosha hukumu.