Methali 16:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Kuwa na mvi za uzee ni taji la utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu. Biblia Habari Njema - BHND Kuwa na mvi za uzee ni taji la utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Kuwa na mvi za uzee ni taji la utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu. Neno: Bibilia Takatifu Mvi ni taji la utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu. Neno: Maandiko Matakatifu Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa maisha ya uadilifu. BIBLIA KISWAHILI Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki. |
Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya.
Asiye mwepesi wa hasira ni mwema kuliko shujaa; Na mtu aitawalaye roho yake kuliko mtu atekaye mji.
Naam, wataogopa kilichoinuka Na vitisho vitakuwapo njiani; Na mlozi utachanua maua; Na panzi atakuwa ni mzigo mzito; Na pilipili hoho itapasuka; Maana mtu aiendea nyumba yake ya milele, Nao waombolezao wazunguka njiani.
Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.
Mwondokeeni mtu mwenye mvi; heshimuni uso wa mtu mzee; nawe mche Mungu wako, Mimi ndimi BWANA.
Na wote wawili walikuwa wenye haki mbele za Mungu, wakiishi katika amri zote za Bwana na maagizo yake bila lawama.
lakini, kwa ajili ya upendo nakusihi, kwa kuwa ndimi, Paulo mzee, na sasa mfungwa wa Kristo Yesu pia.