Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 16:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; Lakini mwisho wake ni njia za mauti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu aweza kuona njia yake kuwa sawa, lakini mwishowe humwongoza kwenye kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu aweza kuona njia yake kuwa sawa, lakini mwishowe humwongoza kwenye kifo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu aweza kuona njia yake kuwa sawa, lakini mwishowe humwongoza kwenye kifo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu, bali mwisho wake huelekeza mautini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu, bali mwisho wake huelekeza mautini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; Lakini mwisho wake ni njia za mauti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 16:25
9 Marejeleo ya Msalaba  

Njia ya mpumbavu imenyoka machoni pake mwenyewe; Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri.


Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.


Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.


Nafsi yake mfanyakazi hujifanyia kazi; Maana kinywa chake humtia bidii.


Baadhi ya Mafarisayo waliokuwapo pamoja naye wakasikia hayo, wakamwambia, Je! Sisi nasi tu vipofu?


Kweli, mimi mwenyewe niliona ndani ya nafsi yangu kwamba yanipasa kutenda mambo mengi yaliyopingana na jina lake Yesu Mnazareti;


Jichunguzeni wenyewe muone kama mmekuwa katika imani; jithibitisheni wenyewe. Au hamjijui wenyewe, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Isipokuwa iwe mmekataliwa.