Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 15:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Sikio lisikilizalo lawama yenye uhai Litakaa kati yao wenye hekima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu ambaye husikiliza maonyo mema, anayo nafasi yake miongoni mwa wenye hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu ambaye husikiliza maonyo mema, anayo nafasi yake miongoni mwa wenye hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu ambaye husikiliza maonyo mema, anayo nafasi yake miongoni mwa wenye hekima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye asikilizaye maonyo yatoayo uzima atakuwa miongoni mwa wenye hekima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye asikilizaye maonyo yatoayo uzima atakuwa miongoni mwa wenye hekima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Sikio lisikilizalo lawama yenye uhai Litakaa kati yao wenye hekima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 15:31
14 Marejeleo ya Msalaba  

Geukeni kwa ajili ya maonyo yangu; Tazama, nitawamwagia roho yangu, Na kuwajulisheni maneno yangu.


Umaskini na fedheha zitampata yeye akataaye kurudiwa; Bali yeye aangaliaye maonyo ataheshimiwa.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Mng'ao wa macho huufurahisha moyo; Habari njema huinenepesha mifupa.


Akataaye maonyo huidharau nafsi yake mwenyewe; Bali yeye asikilizaye lawama hujipatia ufahamu.


Mpumbavu hudharau kurudiwa na babaye; Bali yeye aangaliaye maonyo hupata busara.


Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.


Sikiliza mashauri, ukapokee mafundisho, Upate kuwa na hekima siku zako za mwisho.


Kipuli cha dhahabu, na pambo la dhahabu safi; Ndivyo alivyo mwonyaji mwenye hekima kwa sikio lisikialo.


Heri kusikia laumu ya wenye hekima, Kuliko mtu kusikia wimbo wa wapumbavu;


Tegeni masikio yenu, na kunijia; Sikieni, na nafsi zenu zitaishi; Nami nitafanya nanyi agano la milele, Naam, rehema za Daudi zilizo imara.


Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.