Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 15:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Moyo wa mwadilifu hufikiri kabla ya kujibu, lakini kinywa cha mwovu hububujika uovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Moyo wa mwadilifu hufikiri kabla ya kujibu, lakini kinywa cha mwovu hububujika uovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Moyo wa mwadilifu hufikiri kabla ya kujibu, lakini kinywa cha mwovu hububujika uovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake, bali kinywa cha mwovu hufoka ubaya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake, bali kinywa cha mwovu hufoka ubaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 15:28
17 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, kwa vinywa vyao huteuka, Midomoni mwao mna panga, Kwa maana ni nani asikiaye?


Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.


Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.


Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.


Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.


Moyo wake mwenye hekima hufundisha kinywa chake; Huzidisha elimu ya midomo yake.


Mpumbavu hudhihirisha hasira yake yote; Bali mwenye hekima huizuia na kuituliza.


Je! Umemwona mtu mwenye kuhamaki katika maneno? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Usiseme maneno ya ujinga kwa kinywa chako, wala moyo wako usiwe na haraka kunena mbele za Mungu; kwa maana, Mungu yuko mbinguni, na wewe upo chini, Kwa hiyo maneno yako na yawe machache.


Usikiache kinywa chako kuukosesha mwili wako; wala usiseme mbele ya huyo malaika ya kwamba hukukusudia; kwa nini Mungu akasirishwe na maneno yako, na kuiharibu kazi ya mikono yako?


Enyi wazawa wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.


Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa heshima.


Maana wakinena maneno makuu mno ya kiburi, kwa tamaa za mwili na kwa ufisadi huwahadaa watu walioanza kuwakimbia wale wanaoenenda katika udanganyifu;