Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 15:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ushauri mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maneno yapendezayo ni safi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mawazo ya mwovu ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, bali maneno mema humfurahisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mawazo ya mwovu ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, bali maneno mema humfurahisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mawazo ya mwovu ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu, bali maneno mema humfurahisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu huchukia sana mawazo ya mwovu, bali mawazo ya wale walio safi humfurahisha yeye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana huchukia sana mawazo ya mwovu, bali mawazo ya wale walio safi humfurahisha yeye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ushauri mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maneno yapendezayo ni safi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 15:26
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya kinywa changu, Na mawazo ya moyo wangu, Yapate kibali mbele zako, Ee BWANA, Mwamba wangu, na mwokozi wangu.


Moyo wangu umefurika kwa jambo jema, Mimi nasema niliyomfanyia mfalme; Ulimi wangu ni kama kalamu ya mwandishi stadi.


Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


BWANA ataing'oa nyumba ya mwenye kiburi; Bali atauthibitisha mpaka wa mjane.


Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.


Maneno yapendezayo ni kama sega la asali; Ni tamu nafsini, na afya mifupani.


Fikira za mpumbavu ni dhambi, Na mwenye mzaha huwachukiza watu.


Ee Yerusalemu, jioshe moyo wako usiwe na uovu, upate kuokoka. Mawazo yako mabaya yatakaa ndani yako hata lini?


Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wizi, ushuhuda wa uongo, na matukano;